Psalms 104:2-4


2 aAmejifunika katika nuru kama vile kwa vazi,
amezitandaza mbingu kama hema

3 bna kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji.
Huyafanya mawingu kuwa gari lake,
na hupanda kwenye mbawa za upepo.

4 cHuzifanya pepo kuwa wajumbe
Au: malaika.
wake,
miali ya moto watumishi wake.

Copyright information for SwhKC